Ndege
ya CRR yapata ajari mjini Goma nchini Congo
Ndege
imepata ajari majira ya saa Kumi kasoro hali ya hewa inadaiwa ilikuwa mbaya sana ndege hiyo ilidondoka
wakati mvua ilikuwa ikinyesha. ambayo
imedaiwa kulikuwa na watu wapatao kumi.katika ndege hiyo.
No comments:
Post a Comment