Search This Blog

Tuesday, March 5, 2013

MCHAKATO WA UCHAGUZI NCHINI KENYA


Katika mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini Kenya Matokeo ya uraisi mh Uhuru Jomo Kenyata aongoza kwa kura milioni mbili na laki nne kwakumzidi mpinzani wake Raila Odinda  kwa kura milioni moja na laki nane. inasemekana kuwa ni kura 30% tu ambayo yamewasilishwa   kura zilizo hesabiwa mpaka sasa ni kula milioni 3 kati ya kula milioni 10 .  katika maeneo ambayo yameshatoa matokea baathi ya wagombea wamekubali kushindwa na wale walioshinda wanasherekea katokeo hayo.

Katika eneo la Pwani kunawatu ishirini na mbili (22) katika harakati za kukwamisha uchaguzi hapo kenya wameuwawa wakiwepo askari sita . inadaiwa kunawatu watatu wamekwisha tiwa nguvuni   katika mauaji hayo. Wakati wa uchaguzi huo Tume  ya uchaguzi IEDP akiwemo kiongozi wa tume hiyo ya Umoja wa Afrika  Mh Raisi mstaafu wa Msumbiji,tume hiyo  imeonya na kutoa  mambo yafuatoyo kusiwe na maandamano hadi matokeo yatakapotangazwa  pia amedai kuwa hakuna kitu chochote nanacholeta wasiwasi katika uchaguzi huo na kuhakikisha kuwa uchaguzi unakwenda kama ulivyokusudiwa kwa kuzingatia sheria. kaa mkao wa kufatilia mchakato huo katika blog hii

No comments:

Post a Comment