Chadema, NCCR Mageuzi wang’aka juu ya matokeo ya Form IV
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Jemes Mbatia akiwaonyesha waandishi wa
habari, kitabu cha mitalaa ya Elimu ya Sekondari, alipokuwa akizungumza
kuhusu kushuka kwa kiwango cha elimu nchi.
Umeisikia hiyo “Chadema, NCCR Mageuzi wang’aka
Umefika wakati wa
kuweka tofauti zetu za kisiasa pembeni, tufanye kazi kwa pamoja ili kulinusuru
taifa letu na elimu hii ya maafa, nilishangazwa sana na kitendo cha wabunge wa
CCM kuipinga hoja yangu, haya ndio matokeo sasa haya yote yalitolewa na Mh. James Mbatia
No comments:
Post a Comment