Search This Blog

Thursday, February 14, 2013

Vikao vya bunge kutorushwa Live.


No' Wabunge kutokelezea live! live! kwenye kideo hukuwakioneshana mnjonjo yao na Watanzania wakiwakodolea mcho waziwazi. Umelifahamu hili



Kwa lengo la kukomesha vurugu za wabunge wanaotafuta umaarufu .Bunge lianza mchakato kusitisha matangazo ya vikao vyake kurushwa moja kwa moja yaani live  kama ilivyo kawaida ya bunge hili. Imedaiwa kuwa itarushwa  katika mfumo wa yaliyojiri katika vikao hivyo baada ya kuhaririwa, na hii yote imetokana kuwa bunge haliendeshwi kwa kanuni, wabunge wanamasilahi yao  binafsi na kuwa bunge  siyo kilabu au mahali pa kuoneshana ubabe hivyo lengo hili ni kwaajiri ya kuweka utaratibu mzuri wa matukio bungeni  hapo  haya yote yamejili hapo bungeni.
Lakini swala la kujiuliza hivi kweli kutorushwa live kwa matukio hapo bungeni kunafuata sera nzima za Demokrasia ? 

No comments:

Post a Comment