Search This Blog

Monday, February 4, 2013

Msanii mwenye kipaji cha ajabu..!


Wamfahamu msanii huyu ajulikanaye kama Paul Timoth. anayefahamika kama Mwasile




Mwasile


da duniani kunawatu wenye vipaji cheki na Msanii huyu
yuko vizuri kwenye Kuimba ameamua kumwimbia Mungu  . Siunajua tena uhai  uliko toka...??? achana na kuimba dogo yuko vizuri kwenye kutengeneza Ngoma kali  tena za motomoto katika Studio iitwayo SEMPAMBA RECORD  inayo milikiwa na Msanii huyu iliyoko Iringa Town pande za Mtwivila  
 

No comments:

Post a Comment